Posts

Showing posts from April 30, 2017

LOWASA AYASEMA HAYA KUHUSU JINA LA MWANAE KUWA KATIKA LISTI YA WENYE VYETI FEKI

Image
Toka jana habari inayo Gonga vichwa vya watu ni kuhusu vyeti feki kubwa zaidi ni Pale Jina la mtoto wa Lowassa kuwemo kwenye List ya wenye vyeti feki kiendo ambacho kime Mfedhehesha sana Lowassa na kusema kuwa Hata lifumbia macho hili swala la Mwanaye kuwekwa kwenye List ya vyeti feki Lowassa Nitalitolea Ufafanuzi Jina la Godfrey Ngoyai Lowassa lililopo kwenye list ya watu wenye vyeti feki Muda sio Mrefu

VYUO VYA UALIMU VYA KARABATIWA

Image
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Simon Msanjila     Na RAMADHAN HASSAN-DODOMA SERIKALI imekarabati vyuo 10 vya ualimu kati ya 35 kwa lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia walimu. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Simon Msanjila, alipofungua mafunzo ya mradi wa kuimarisha elimu ya ualimu. “Hawa wanabeba jukumu kubwa la kuwasaidia watoto wetu, hivyo ni lazima Serikali iwaangalie na ndiyo maana tukakarabati vyuo 10 na hivi vingine vitaingia katika bajeti inayofuata,’’ alisema. Pia alisema wameamua kutoa mafunzo hayo ili wakuu wa vyuo wajue namna bora ya kufanya ununuzi katika vitu mbalimbali.  “Katika ununuzi kuna utaratibu wa kufuata, kila kinachonunuliwa lazima thamani ya fedha ionekane, sio unakurupuka tu kujinunulia, lazima uangalie na bei ya soko ikoje.  “Mradi huu utakuwa ni wa miaka mit...